Saturday, 8 April 2017

Ni Vipi Mtu Hutubia Kwa Ajili Ya Kusengenya?





Swali
Ni vipi mtu hutubia kwa ajili ya usengenyaji?

Jibu

Akiweza kumuomba msamaha, afanye hivo. Hii ni haki ya kiumbe na haianguki isipokuwa kwa yule msengenywaji kusamehe. Ama ikiwa hawezi kumtaka radhi amuombee du´aa yule msengenywaji, amuombee msamaha na kumsifu.

Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan


No comments:

Post a Comment